James Alex Msekela

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta

James Alex Msekela (amezaliwa tar. - ) ni mbunge wa jimbo la Tabora Kaskazini katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia [hariri]

Marejeo [hariri]

  1. Mengi kuhusu James Alex Msekela (25 Aprili 2006). Rudishwa juu ya 11 Novemba 2011.