Jahazi Modern Taarab

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jahazi Modern Taarab
Asili yake Zanzibar
Tanzania
Aina ya muziki Taarab
Miaka ya kazi 2006-hadi leo
Wanachama wa sasa
Mzee Yusuf
Khadija Yusuf
Isha Ramadhani
Leila Rashid

Jahazi Modern Taarab ni bendi ya muziki wa taarab kutoka nchini Tanzania. Bendi ilianzishwa mwishoni mwa mwaka wa 2006, jijini Dar es Salaam. Jahazi Modern Taarab, ndiyo kundi linaloongoza kwa sasa katika miondoko ya taarab kwa nchi ya Tanzania, na ndiyo kundi pekee lenye washabiki wengi kuliko.

Kundi limeweza kujipatia mafanikio makubwa kabisa katika medani ya muziki wa taarab. Mzee Yusuf, ndiyo kiongozi na mmiliki wa kundi, ambaye pia ndiyo mwanamuziki mgunduzi wa mtindo wa taarab za kisasa (yaani “modern taarab”).

Mzee aliungana na dada yake Bi. Khadija Yusuf, ambaye pia ni mwimbaji mashuhuri wa muziki wa taarab kwa nchi ya Tanzania. Wote wawili walianza kujipatia umaarufu na heshima kubwa kimataifa wakiwa na kundi walilokuwa zamani la muziki wa taarab la Zanzibar Stars Modern Taarab. [1]

Muziki[hariri | hariri chanzo]

Albamu[hariri | hariri chanzo]

Nyimbo zao zilizomaarufu[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]


Makala hii kuhusu mambo ya muziki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Jahazi Modern Taarab kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.