Jacques Monod

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Jacques Lucien Monod (9 Februari, 191031 Mei, 1976) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Ufaransa. Hasa alichunguza usanisi wa vimeng'enya ndani ya chembe hai. Mwaka wa 1965, pamoja na Francois Jacob na Andre Lwoff alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Image:WikiLettreMini.svg Makala hiyo kuhusu "Jacques Monod" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Jacques Monod kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Vifaa binafsi