Historia ya Misri
Historia ya Misri inaweza kugawanywa katika vipindi vifuatavyo:
- Misri ya Kale
- DKipindi cha nasaba za kaleza Misri karne ya 31 hadi 27 KK
- Ufalme mkongwe wa Misri karne ya 27 hadi 22 KK
- Kipindi cha kwanza cha kati karne ya 22 hadi 21 KK
- Ufalme wa kati wa Misri karne ya 21 hadi 17 KK
- Kipindi cha kati ca. mwaka 1640-1570 KK
- Ufalme mpya wa Misri mwaka 1570-1070 KK
- Kipindi cha tatu cha kati na mwaka 1070-664 KK
- Mwishoni mwa kipindi cha Misri ya kale
- Nasaba ya ishirini na saba ya Misri mwaka 664-525 KK
- Akemenidi ya Misri mwaka 525-332 KK
- Misri ya Ugiriki na Roma
- Misri ya Ptolemi 332-30 KK
- Misri ya Rumi mwaka 30 KK hadi 395 BK
- Misri ya Bizantaini mwaka 395-645
- Misri ya Uislamu
- Misri ya Uarabu 639-1250
- Misri ya Mamuluki mwaka 1250-1517
- Misri ya Otomani mwaka 1517-1805
- Misri ya kisasa
- Misri chini ya utawala wa nasaba ya Muhammad Ali mwaka 1805-1882
- Misri ya Kisasa tangu mwaka 1882
Tazama Pia[hariri]
|
||||||||||||||||||||
|
||||||||||||||
|
|||||||||||
|
||||||||||||||