Hip hop ya Kitanzania
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Hip hop ya Kitanzania kwa ujumla hujulikana kama Bongo Flava. Bongo Flava inajumuisha midungo mikubwa mbalimbali, lakini inafahamika sana kwa ushiriki wake katika pop ya Kitanzania. Kumekuwa na mdahalo juu ya Bongo Flava, ambayo imeunganisha na kuanishwa kama miondoko pop, je, kwamba bado inaweza kufuzishwa katika istilahi ya "hip hop" na sio katika harakati za muziki wenyewe ulivyo[1], wakati inaanza inatengeneza sauti nzito ya kipekee ambayo inatofautiana kabisa na hardcore rap au, kwa mfano, kundi la hip hop la Kimasai la X Plastaz, ambao wanatumia mila za kabila la Kimaasai ikiwa kama mtindo wa muziki wao[2].
Wasanii wa Bongo Flava [hariri]
- Mkoloni
- Mr. II (aka Sugu)
- Noorah
- Q-Chief
- Park Lane
- Phat Family
- Professor Jay
- Balozi Dola
- X-Plastaz
- Saleh J
- D-Knob
- Mr blue
- Pingu na Deso
- Mangwair
- Joselyn
- Pig Black
- Jay Mo
- Solo Thang
- Mwana FA
- A.Y.
- GK
- Dully Sykes
- TID
- Joe Makini
- Afande Sele
- Fid Q
- Nako 2 Nako
- CPwaa
- Matonya
- Suma lee
- Chidi Benz
- Kali P
- Ali Kiba
- Lady Jay Dee
- Ferooz
- A.T.
- Stara Thomas
- Joe Makini
- Hussien Machozi
- Diamond
- Belle 9
- Mandojo & Domokaya
- Tundaman
- K - Lynn
- Ray C
- Z-Anto
- Pasha
- Side Boy
- Kassim
- Amin
- Chege
- Juma Nature
- Banana Zorro
- Maunda Zorro
- Zahir Ally Zorro
- Fresh Jumbe
- Mh. Temba
- BOB Junior
- Mr.Tz
Marejeo [hariri]
- ↑ Thomas, A, "X Plastaz & Bongo Flava: Tanzanian hip hop released internationally", [1], africanhiphop.com
- ↑ Martin, Lydia. "Bongo Flava: Swahili Rap from Tanzania." afropop.org
Viungo vya Nje [hariri]
- [2], Extra Listening for Tanzanian Hip Hop and AIDS awareness.
- Three African musical responses to AIDS [3], Recordings from Africa show the range of musical responses to the pandemic.