Hezekiah Ndahani Chibulunje

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta

Hezekiah Ndahani Chibulunje (amezaliwa tar. 15 Machi 1946) ni mbunge wa jimbo la Chilonwa katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia[hariri]

Marejeo[hariri]

  1. Mengi kuhusu Hezekiah Ndahani Chibulunje (10 Julai 2006). Rudishwa juu ya 11 Novemba 2011.