Hernán Crespo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Hernán Crespo
binadamu
Jinsiamume Hariri
Nchi ya uraiaArgentina, Italia Hariri
Nchi anayoitumikiaArgentina, Italia Hariri
Jina katika lugha mamaHernán Crespo Hariri
Jina halisiHernán Hariri
Jina la familiaCrespo Hariri
PseudonymValdanito Hariri
Tarehe ya Kuzaliwa5 Julai 1975 Hariri
Mahali alipozaliwaFlorida Hariri
Lugha zinazozungumzwa, zilizoandikwa au zilizotiwa sahihiKihispania Hariri
Kaziassociation football player, association football coach Hariri
Nafasi anayocheza kwenye timuforward Hariri
AlisomaLa Salle Florida Hariri
Coach of sports teamAl Ain FC Hariri
MchezoMpira wa miguu Hariri
Ameshiriki1996 Summer Olympics, 2006 FIFA World Cup, 2002 FIFA World Cup, 1998 FIFA World Cup Hariri
LigiLigi Kuu Uingereza, Seria A Hariri

Hernán Jorge Crespo (amezaliwa Florida Este, Argentina, 5 Julai 1975) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa zamani kutoka nchi ya Argentina.

Crespo alichezea vilabu vya River Plate, Parma F.C., S.S. Lazio, Inter Milan, Chelsea F.C., A.C. Milan na Genoa C.F.C.,

Crespo alifunga magoli zaidi ya 300 katika marika ya miaka 19. Katika hatua ya kimataifa alishinda magoli 35.nani Muajentina wa nne kufunga magoli mengi pembeni ya Sergio Auguero,Gabriel Batistuta na Lionel Messi.amecheza mara tatu michuano ya kombe la dunia mwaka 1998, 2002, 2006. katika hatua ya klabu Crespo aikuwa ni moja kati ya wachezaji wabei kubwa,aliponunuliwa na Lazio na Parma 2002.alikuwa ni mchezaji anayeongoza kwa magoli Serie A mwaka 2000-2001,akichezea klabu ya Lazio akiwa ameshinda magolio 26.

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Hernán Crespo kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.