Hektari

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Taswira ya Hekta 1 ya ardhi

Hekta (pia: hektari) ni kipimo cha eneo lenye upana na urefu wa mita mia moja. Hekta moja ina mita za mraba (=m²) 10,000.

Kifupi chake ni ha.

Msingi wake ni kipimo cha urefu cha mita (m).

1 ha = 0,01 km² = 100 Ar = 100 m × 100 m = 10.000

1 km² = 1.000 m × 1.000 m
1 ha = 100 m × 100 m
1 a = 10 m × 10 m
1 m² = 1 m × 1 m

100 ha = 1 km²

Hekta ni kipimo kinachotumika hasa kupimia maeneo ya kilimo.