Hedwiga wa Poland
Hedwiga (kwa Kijerumani Hedwig, kwa Kipolandi Jadwiga, linatamkwa jadˈviɡa) aliishi tangu mwaka 1373/1374 hadi 17 Julai 1399).
Kuanzia mwaka 1384 hadi kifo chake alitawala nchi ya Poland akiitwa 'mfalme' badala ya 'malkia', ili kusisitiza kwamba hakuna tu mke wa mtawala halisi[1].
Alizaliwa katika ukoo wa Wakapeti wa Anjou, binti wa mwisho wa mfalme Luis I wa Hungaria na Elizabeti wa Bosnia.[2].
Tangu zamani anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu na msimamizi wa kila malkia. Papa Yohane Paulo II ndiye aliyemtangaza rasmi mwenye heri tarehe 8 Agosti 1986 na mtakatifu tarehe 8 Juni 1997.
Yaliyomo |
Picha [hariri]
-
The restoration of the Kraków Academy by Queen Jadwiga.
-
Queen Jadwiga's Cup from the Wawel Cathedral.
-
Jadwiga and Jagiełło (Jogaila) Monument in Kraków Planty Park.
-
A later portrait of Jadwiga by Antoni Piotrowski.
Tanbihi [hariri]
- ↑ Hedvigis Rex Polonie: M. Barański, S. Ciara, M. Kunicki-Goldfinger, Poczet królów i książąt polskich, Warszawa 1997, also Teresa Dunin-Wąsowicz, Dwie Jadwigi (The Two Hedwigs)
- ↑ Norman Davies (2005). Jadwiga (chapter Jogalia). God's Playground: A History of Poland in Two Volumes, Volume 1 94-96. Oxford University Press. Rudishwa juu ya 10 Aprili 2012.
- ↑ Psałterz floriański
Marejeo [hariri]
- Heinze, Karl (8 Desemba 2003). Baltic Sagas. Virtualbookworm Publishing. ISBN 1-58939-498-4.
- Lukowski, Jerzy; Hubert Zawadzki (20 Septemba 2001). A Concise History of Poland. Cambridge University Press. ISBN 0-521-55917-0.
- Turnbull, Stephen; Richard Hook (30 Mei 2003). Tannenberg 1410. Osprey Publishing. ISBN 1-84176-561-9.