Gotland
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Gotland ni kisiwa, manispaa na jimbo nchini Uswidi. Ni kisiwa kikubwa cha kwanza nchini Uswidi na pia ni kisiwa kikubwa cha Bahari ya Baltiki. Kuna wakazi 57004 (mwaka 2005). Mji mkubwa wa kwanza ni Visby.
Jiografia [hariri]
Eneo lake ni 3,183.7 km². Iko kando ya Bahari ya Baltiki.
Viungo vya nje [hariri]
| Makala hii kuhusu maeneo ya Uswidi bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Gotland kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |