Gotham City

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa jiji la Gotham.

Gotham City ni jiji linaloonekana katika gazeti la katuni linalomilikiwa na DC Comics.

Jiji linafahamika zaidi kama ni nyumbani kwa Batman. Mahali pa kuishi pa Batman palitambulishwa kama Gotham City kwenye sehemu ya 4 ya Batman (Winter 1940).

Vyanzo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]