Go-Sai

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mchoro wa Go-Sai

Go-Sai (1 Januari 163822 Machi 1685) alikuwa mfalme mkuu wa 111 (Tenno) wa Japani. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Nagahito. Tarehe 5 Januari 1655 alimfuata kaka yake, Go-Komyo, na kuwa mfalme hadi kujiuzulu tarehe 5 Machi 1663. Aliyemfuata ni mdogo wake Reigen.

Angalia pia[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Kaizari fulani wa Japani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Go-Sai kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.