Giosue Carducci

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Giosuè Carducci)
Giosuè Carducci

Giosuè Carducci (27 Julai 183516 Februari 1907) alikuwa mwandishi na mshairi kutoka nchi ya Italia.

Mwaka wa 1906 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Makala hii kuhusu mshindi wa Tuzo ya Nobel bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Giosue Carducci kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.