George Berkeley

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
George Berkeley

George Berkeley (12 Machi 1685 - 14 Januari 1753) alikuwa mwanafalsafa wa Uingereza. Pia alikuwa askofu Mwanglikana huko Cloyne nchini Ueire.

Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu George Berkeley kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.