Frans Eemil Sillanpää

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Frans Eemil Sillanpää

Frans Eemil Sillanpää (16 Septemba 18883 Juni 1964) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Finland. Anajulikana hasa kwa riwaya zake, k.m. "Urithi Duni" (kwa Kifinland Hurskas kurjuus, iliyotolewa mwaka wa 1919) au "Usingizi wa Ujanani" (Nuorena nukkunut, 1931). Mwaka wa 1939 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Bibliography[hariri | hariri chanzo]

Sillanpää, 1931.
  • Elämä ja aurinko (1916)
  • Ihmislapsia elämän saatossa (1917)
  • Hurskas kurjuus (translated as Meek Heritage) (1919)
  • Rakas isänmaani (1919)
  • Hiltu ja Ragnar (1923)
  • Enkelten suojatit (1923)
  • Omistani ja omilleni (1924)
  • Maan tasalta (1924)
  • Töllinmäki (1925)
  • Rippi (1928)
  • Kiitos hetkistä, Herra... (1930)
  • Nuorena nukkunut (translated as The Maid Silja) (1931)
  • Miehen tie (1932)
  • Virranpohjalta (1933)
  • Ihmiset suviyössä (translated as People in the Summer Night) (1934)
  • Viidestoista (1936)
  • Elokuu (1941)
  • Ihmiselon ihanuus ja kurjuus (1945)
Makala hii kuhusu mwandishi fulani wa Ulaya bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Frans Eemil Sillanpää kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.