Festus Gontebanye Mogae
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Festus Mogae alipomtembelea George W. Bush mwaka wa 2005
Festus Gontebanye Mogae (amezaliwa 21 Agosti, 1939) ni Rais wa nchi ya Botswana tangu 1 Aprili, 1998. Alimfuata Quett Masire.
| Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Festus Gontebanye Mogae kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |