Felix Christopher Mrema

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Felix Christopher Mrema (amezaliwa tar. 3 Agosti 1946) ni mbunge wa jimbo la Arusha katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia

Marejeo

  1. "Mengi kuhusu Felix Christopher Mrema". 4 Oktoba 2006. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-19. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.  Check date values in: |date= (help)