Faustina Kowalska
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Maria Faustina Kowalska, anayefahamika kama Mtakatifu Faustina, kabla hajaingia utawani aliitwa kwanza Helena Kowalska. Alizaliwa tarehe 25 Agosti 1905 huko Głogowiec, Łęczyca County, Poland (wakati ule ndani ya Dola la Urusi) akafariki tarehe 5 Oktoba 1938 huko Kraków, Poland.[1]
Ni maarufu hasa kwa njozi ambazo alijaliwa hata akaeneza ibada kwa Huruma ya Mungu.
Kanisa Katoliki linamheshimu kama mtakatifu tangu alipotangazwa na Papa Yohane Paulo II tarehe 30 Aprili 2000.
[hariri] Tanbihi
- ↑ Alan Butler and Paul Burns, 2005, Butler's Lives of the Saints, Burns and Oats ISBN 0860123839 page 251
[hariri] Viungo vya nje
- Vatican biography
- Divine Mercy in My Soul; The Diary of Saint Faustina Kowalska (from Amazon.com)
- Homily of Pope John Paul
- Vatican Page on Saint Faustina
- Polish Divine Mercy Shrines
- Devotional organizations
| Makala hii kuhusu Mkristo huyu bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Faustina Kowalska kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |

