Fatuma Mussa Maghimbi
Fatuma Mussa Maghimbi ni mbunge wa jimbo la ChakeChake katika bunge la taifa nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CUF.
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Mengi kuhusu Fatuma Mussa Maghimbi (25 Aprili 2006). Jalada kutoka ya awali juu ya 2011-10-20. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.
Viungo vya nnje[hariri | hariri chanzo]
- Tovuti ya Bunge la Tanzania
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |