Ezekiel Magolyo Maige
Ezekiel Magolyo Maige (amezaliwa tar. 28 Machi 1970) ni mbunge wa jimbo la Masalala katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ ["Mengi kuhusu Ezekiel Magolyo Maige". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-20. Iliwekwa mnamo 2011-11-04. Mengi kuhusu Ezekiel Magolyo Maige]
Viungo vya nnje[hariri | hariri chanzo]
- Tovuti ya Bunge la Tanzania
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |