Eneo Bunge la Ndaragwa
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Eneo Bunge la Ndaragwa ni eneo bunge la uchaguzi nchini Kenya. Ni mojawapo wa maeneo bunge katika Wilaya ya Nyandarua. Eneo bunge hili lina wadi nne, zote ambazo huwachagua madiwani katika Baraza la Mji wa Nyandarua. Eneo bunge hili lilianzishwa kwa ajili ya uchaguzi wa 1988.
Yaliyomo |
Wabunge [hariri]
| Mwaka wa Uchaguzi | Mbunge [1] | Chama | Vidokezo |
|---|---|---|---|
| 1988 | Fredrick Kimondo Wagura | KANU | Mfumo wa Chama kimoja |
| 1992 | W. Gichuki Mwangi | DP | |
| 1997 | Thirikwa Kamau | DP | |
| 2002 | Geoffrey Gachara Muchiri | NARC | |
| 2007 | Jeremiah Ngayu Kioni | PNU |
Wadi [hariri]
| Wadi | |
| Wadi | Wapiga kura waliosajiliwa |
|---|---|
| Kiriita | 6,769 |
| Leshau Pondo | 10,529 |
| Ndaragwa | 12,888 |
| Shamata | 8,600 |
| Jumla | 38,786 |
| Septemba 2005 | [2],[3] | |
Marejeo [hariri]
- ↑ Center for Multiparty Democracy: Politics and Parliamenterians in Kenya 1944-2007
- ↑ Electoral Commission of Kenya: Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency
- ↑ Electoral Commission of Kenya: Civic Elections Results (2002)
Viungo vya nje [hariri]
Kigezo:Wilaya ya Nyandarua | Kigezo:Maeneo bunge katika Mkoa wa Kati (Kenya)