Eneo Bunge la Marakwet East
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Marakwet East ni eneo bunge la uchaguzi nchini Kenya. Ni mojawapo wa maeneo bunge mawili katika Wilaya ya Marakwet. Eneo bunge hili lina wadi kumi na moja, zote ambazo huchagua madiwqani katika Baraza la Mji wa Marakwet. Eneo Bunge hili lilianzishwa kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka wa 1992 likijulikana kama eneo bunge la Kerio East , na kubadilishwa hadi muundu wake wa sasa kwenye uchaguzi wa 1997.
Wabunge [hariri]
| Mwaka wa Uchaguzi | Mbunge [1] | Chama | Vidokezo |
|---|---|---|---|
| 1992 | Fredrick K. Cheserek | KANU | |
| 1997 | John Kiptoo Marirmoi | KANU | |
| 2002 | Linah Jebii Kilimo | NARC | |
| 2007 | Linah Jebii Kilimo | KENDA |
Wadi [hariri]
}}
| ' | |
| Wadi | Wapiga kura waliosajiliwa |
|---|---|
| Embobut | 2,482 |
| Embolot | 1,847 |
| Endo | 2,981 |
| Kaptich | 1,440 |
| Kapyego | 2,433 |
| Kipkaner | 1,688 |
| Koibirir | 2,373 |
| Mokoro | 1,755 |
| Mon | 3,026 |
| Murkutwo | 1,731 |
| Sambirir | 3,301 |
| Jumla | 25,057 |
Marejeo [hariri]
- ↑ Center for Multiparty Democracy: Politics and Parliamenterians in Kenya 1944-2007