Eneo Bunge la Kinangop
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Eneo Bunge la Kinangop ni eneo bunge la uchaguzi nchini Kenya. Ni mojawapo wa maeneo bunge katika Wilaya ya Nyandarua. Eneo bunge hili lina wadi tano, zote ambazo huwachagua madiwani katika Baraza la Mji wa Nyandarua. Eneo bunge hili lilianzishwa kwa ajili ya uchaguzi wa 1988.
Halifai kutatanishwa na Eneo Bunge la Kinango lililo katika Wilaya ya Kwale.
Yaliyomo |
Wabunge [hariri]
| Mwaka wa Uchaguzi | Mbunge [1] | Chama | Vidokezo |
|---|---|---|---|
| 1988 | Josiah Munyua Kimemia | KANU | Mfumo wa Chama kimoia. |
| 1992 | Mary Wanjiru | Ford-Asili | |
| 1997 | Mwangi K.Waithaka | Ford-People | |
| 2002 | Mwangi K.Waithaka | NARC | |
| 2007 | David Mwaniki Ngugi | Sisi Kwa Sisi |
Wadi [hariri]
| Wadi | |
| Wadi | Wapiga kura waliosajiliwa |
|---|---|
| Engineer | 16,060 |
| Magumu | 9,964 |
| Njabini | 12,358 |
| North Kinangop | 13,251 |
| Nyakio | 12,199 |
| Jumla | 63,832 |
| Septemba 2005 | [2],[3] | |
Marejeo [hariri]
- ↑ Center for Multiparty Democracy:Politics and Parliamenterians in Kenya 1944-2007
- ↑ Electoral Commission of Kenya: Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency
- ↑ Electoral Commission of Kenya: Civic Elections Results (2002)
Viungo vya nje [hariri]
Kigezo:Wilaya ya Nyandarua | Kigezo:Maeneo bunge katika Mkoa wa Kati (Kenya)