EmiratesNBD

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
EmiratesNBD
Mwenyekiti HE Ahmed Humaid Al Tayer
Mkurugenzi Mtendaji wa kundi Rick Pudner
Kikao chake Dubai, Bendera ya Falme za Kiarabu United Arab Emirates
Tovuti http://www.emiratesnbd.com Archived 5 Februari 2009 at the Wayback Machine.

EmiratesNBD ni kundi kubwa zaidi la benki katika Mashariki ya Kati. Iliundwa tarehe 16 Oktoba 2007 wakati hisa za Emirates NBD ziliPOorodheshwa rasmi katika soko la hisa la Dubai. Muungano huu ulileta pamoja mabenki ya UAE ya pili na ya nne kubwa zaidi (Benki ya Emirates na Benki ya Taifa ya Dubai) kwa mali na umeunda bingwa wa benki iliyo na mali nyingi zaidi katika Mashariki ya Kati, jumla yake zaidi ya bilioni 282 AED kama mwishoni wa mwaka 2008. Kundi hili lina shughuli katika UAE, Saudi Arabia, Qatar, Uingereza na Jersey (Channel Islands), na ofisi za wakilishi nchini India, Iran na Singapore [1]

Maono[hariri | hariri chanzo]

Kutambuliwa kimataifa kama kiongozi na mtoa-huduma za kifedha mbadilifu zaidi katika Mashariki ya Kati.

Kampuni za Kundi la EmiratesNBD[hariri | hariri chanzo]

  • Benki ya Kimataifa ya Emirates
  • Benki ya Taifa ya Dubai
  • Huduma za Uwekezaji za Emirates
  • Huduma za Kimataifa za Emirates
  • Huduma za Kibiashara na Kifedha za Emirates
  • Al-Tomooh
  • Diners Club UAE

Kampuni Tanzu[hariri | hariri chanzo]

  • Benki ya Kiislamu ya Emirates
  • Emirates Islamic Financial Brokerage
  • Emirates Money
  • Network International
  • EmiratesNBD Capital Limited
  • NBD Securities LLC
  • Al-Watani Al Islami
  • Benki ya Taifa ya Dubai Trust Company (Jersey) Limited
  • Mali ya NBD

Kampuni Shirikishi[hariri | hariri chanzo]

  • National General Insurance
  • NBD Sana Capital Limited
  • Union Properties

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. [[1]Archived 13 Aprili 2015 at the Wayback Machine.]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya uchumi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu EmiratesNBD kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.