Emil Theodor Kocher

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Emil Theodor Kocher (25 Agosti, 184127 Julai, 1917) alikuwa daktari mpasuaji kutoka nchi ya Uswisi. Alifanya na kuboresha pasuaji nyingi, hasa ya tezi dundumio. Mwaka wa 1909 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Image:WikiLettreMini.svg Makala hiyo kuhusu "Emil Theodor Kocher" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Emil Theodor Kocher kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Vifaa binafsi
Lugha nyingine