El Paso, Texas

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Jiji la El Paso
Skyline ya Jiji la El Paso
Jiji la El Paso is located in USA
Jiji la El Paso
Jiji la El Paso
Mahali pa mji wa El Paso katika Marekani
Coordinates: 31°47′25″N 106°25′24″W / Expression error: Unexpected < operator Expression error: Unexpected < operator / Expression error: Unexpected < operator; Expression error: Unexpected < operator
Nchi Marekani
Jimbo Texas
Kitongoji El Paso
Idadi ya wakazi
 - Mji 606,913
Website: www.elpasotexas.gov

El Paso ni mji wa Marekani katika jimbo la Texas. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2005, mji una wakazi wapatao 736,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 1,140 kutoka juu ya usawa wa bahari.


Flag USA template.gif Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu El Paso, Texas kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.