Echoing Angels

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Echoing Angels

Maelezo ya awali
Aina ya muziki Nyimbo za kisasa za Kikristo
Kazi yake Mwanamuziki
Miaka ya kazi 1999 hadi sasa
Studio INO Records
Tovuti echoingangels.com


Echoing Angels ni kundi la kuimba nyimbo za Kikristo kutoka Atlanta,Georgia.

Historia Bendi,hapo awali, liliundwa na Yos Armour na mpigaji ngoma John Poole chini ya jina Two Bare Feetkatika mwaka wa 1999.[1] [1] Walikuwa wakifanya kazi ya muziki ya kujitegemea kwa miaka kadhaa ndipo wimbo wao mmoja You Alone ulianza kuchezwa na stesheni za redio za Atlanta. Kikundi ,kisha,walipiga saini mkataba na studio ya Ino Records, shirika dogo la Columbia Records, na kubadili jina yao likawa Echoing Angels kutokana na masuala ya kisheria.[1] The group then signed to INO Records, a subsidiary of Columbia Records, and changed their name to Echoing Angels due to copyright issues.[1] [3] Albamu yao ya 2007, You Alone, ilipata kushika nafasi ya # 19 kwenye chati ya Billboard 's Top Heatseekers na # 26 katika chati ya Top Christian Albums.[2] [4]

Wanachama[hariri | hariri chanzo]

  • John Poole - mchezaji ngoma
  • Josh Armour - mchezaji gitaa ya aina ya bass
  • Trey Heffinger - mwimbaji (tangu Februari 2008)
  • Shannon Cochran - mchezaji gitaa
  • Jared Lee - mchezaji gitaa
  • Jeffery Box - mwimbaji,mchezaji piano

Diskografia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. 1.0 1.1 1.2 Echoing Angels at Allmusic.com
  2. Billboard, Allmusic.com