Dunstan Daniel Mkapa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Dunstan Daniel Mkapa (amezaliwa tar. 20 Septemba 1948) ni mbunge wa jimbo la Nanyumbu katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Mengi kuhusu Dunstan Daniel Mkapa". 19 Julai 2006. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-17. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.