Kipwe

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Dryoscopus)
Kipwe
Kipwe kiuno-cheupe
Kipwe kiuno-cheupe
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Nusufaila: Vertebrata (Wanyama wenye uti wa mgongo)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Passeriformes (Ndege kama shomoro)
Familia ya juu: Corvoidea (Ndege kama kunguru)
Familia: Malaconotidae (Ndege walio na mnasaba na mbwigu)
Jenasi: Dryoscopus
Boie, 1826
Spishi: D. angolensis Hartlaub, 1860

D. cubla (Latham, 1802)
D. gambensis (Lichtenstein, 1823)
D. pringlii Jackson, 1893
D. sabini (J.E. Gray, 1831) D. senegalensis (Hartlaub, 1857)

Vipwe au gongo futa ni ndege wa jenasi Dryoscopus katika familia Malaconotidae. Wanatokea Afrika kusini kwa Sahara tu. Ndege hawa ni weusi kwa utosi, mgongo na mabawa na weupe chini na kwa kiuno. Domo lao ni jembamba kwa kulinganishwa na spishi nyingine za familia hii. Hula wadudu na invertebrata wengine. Hulijenga tago lao kwa umbo wa kikombe mtini au kichakani na jike huyataga mayai 2-3.

Spishi[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]