Dongguan

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sehemu mbali mbali mjini Dongguan Nchini China








Dongguan
Faili:Kapok flag.svg
Bendera
Nchi China
Jimbo Guangdong
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 6,445,700
Tovuti:  www.dg.gov.cn

Dongguan (kwa Kichina: 东莞市) ni mji wa China katika jimbo la Guangdong.

Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2006, kuna wakazi wapatao milioni 10 wanaoishi katika mji huu.

Makala hii kuhusu maeneo ya China bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Dongguan kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.