Disprosi
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Disprosi (dysprosium) |
|
|---|---|
| Jina la Elementi | Disprosi (dysprosium) |
| Alama | Dy |
| Namba atomia | 66 |
| Uzani atomia | 162,50 |
| Kiwango cha kuyeyuka | 1680 K (1407 °C) |
| Kiwango cha kuchemka | 2840 K (2567 °C) |
| Asilimia za ganda la dunia | 4 · 10-4 % |
Disprosi (Kigiriki dysprósitos „isiyopatikana“) ni elementi na metali nzito na laini yenye namba atomia 66 kwenye mfumo radidia na uzani atomia 162.50. Alama yake ni Dy.
[hariri] Tabia
Disprosi huhesabiwa kati ya Lanthanidi inaonekana kama metali nzitonzito yenye rangi ya kifedha. Haina matumizi mingi kwa jumla ni kama tani 100 kwa mwaka pekee inakorogwa hasa ndani ya aloi mbalimbali.
[hariri] Historia
Disprosi ilitambuliwa mara ya kwanza mjini Paris mnamo mwaka 1886 na mwanakemia Mfaransa Paul Émile Lecoq de Boisbaudran.
[hariri] Viungo vya Nje
| Makala hiyo kuhusu "Disprosi" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Disprosi kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |