Darmstadt

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Darmstadt ni mji wa Kijerumani katika jimbo la Hesse takriban kilomita 30 kusini ya Frankfurtni mji wenye wakazi wapatao 141,000. Mji uko baina ya Frankfurt am Main na Heidelberg.

Elementi ya Darmstati iligunduliwa mjini hapa mwaka 1994.

[hariri] Picha za Darmstadt

[hariri] Viungo vya Nje

WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Image:WikiLettreMini.svg Makala hiyo kuhusu "Darmstadt" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Darmstadt kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Vifaa binafsi