Darfur Kaskazini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta

Anwani ya kijiografia: 16°4′N 25°28′E / 16.067°N 25.467°E / 16.067; 25.467

Darfur Kaskazini


Darfur Kaskazini (Kiarabu: شمال دارفور‎; inayotafsiriwa kuwa: Shamal Darfor) ni mojawapo ya wilayat au majimbo 26 ya Sudan. Ni mojawapo ya majimbo yanayojumuisha kanda ya Darfur . Lina ukubwa wa eneo wa 296,420 km ² na idadu ya wakaazi wake wanakadiriwa kuwa 1,583,000 (2006). Al-Fashir ndio mji mkuu wake. Miji mingine muhimu ni pamoja na miji ya Kutum na Tawila.


Historia ya Darfur Kaskazini ni sawa na ile ya Darfur.

Viungo vya nje [hariri]



Kigezo:Makala-ya-mbegu-ya-jio-ya-Sudan