Cuanza Kaskazini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Cuanza Kaskazini
Cuanza Norte
Mahali paCuanza Kaskazini Cuanza Norte
Mahali paCuanza Kaskazini
Cuanza Norte
Mahali pa Mkoa wa Cuanza Kaskazini katika Angola
Nchi Angola
Mji mkuu N'dalatando

Cuanza Kaskazini (kwa Kireno: Cuanza Norte) ni kati ya mikoa kumi na nane ya Angola.

Una wakazi 385.200 kwenye eneo la km² 24,190. Makao makuu ya mkoa yapo N'dalatando.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]


Makala hii kuhusu maeneo ya Angola bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Cuanza Kaskazini kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.