Conrad Aiken
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Conrad Potter Aiken (5 Agosti, 1889 – 17 Agosti, 1973) alikuwa mwandishi wa mashairi, hadithi fupi na riwaya kutoka nchi ya Marekani. Mwaka wa 1930, alipokea Tuzo ya Pulitzer kwa mashairi yake.
Conrad Potter Aiken (5 Agosti, 1889 – 17 Agosti, 1973) alikuwa mwandishi wa mashairi, hadithi fupi na riwaya kutoka nchi ya Marekani. Mwaka wa 1930, alipokea Tuzo ya Pulitzer kwa mashairi yake.