Cleveland, Ohio
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Jiji la Cleveland | |||
| Cleveland kutoka Ziwa Erie | |||
|
|||
| Mahali pa mji wa katika Marekani | |||
| Anwani ya kijiografia: 41°28′56″N 81°40′11″W / 41.48222°N 81.66972°W | |||
| Nchi | Marekani | ||
|---|---|---|---|
| Jimbo | Ohio | ||
| Wilaya | Cuyahoga | ||
| Idadi ya wakazi | |||
| - Mji | 478,403 | ||
| Tovuti: www.city.cleveland.oh.us | |||
Cleveland ni mji wa Marekani katika jimbo la Ohio. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2000, mji una wakazi wapatao milioni 2.2 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 199 kutoka juu ya usawa wa bahari.
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
| Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Cleveland, Ohio kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |