Chuo kikuu cha Princeton
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
|
Wito: Dei sub numine viget |
|
| Kilianzishwa: | 1746 |
| Aina ya Chuo: | binafsi |
| Mkuu wa Chuo | Shirley Tilghman |
| Mji: | Princeton, New Jersey |
| Nchi: | Marekani |
| Idadi ya wanafunzi | 5,998 |
| Idadi ya walimu | --- |
| Kampasi | mjini Princeton |
| Anwani mtandaoni : | http://www.princeton.edu |
Chuo Kikuu cha Princeton huhesabiwa kati ya vyuo vikuu bora nchini Marekani. Kiko katika jimbo la New Jersey. Kilianzishwa mwaka 1746 kwa jina la "College of New Jersey".
[hariri] Viungo vya Nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu: