Chui-theluji
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Chui-theluji | ||||||||||||||||||
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Chui-theluji Uncia uncia
|
||||||||||||||||||
| Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||||
|
Chui-theluji (Kisayansi: Uncia uncia au Panthera uncia) ni mnyama mwenye manyoya marefu meupe afananaye na chui. Anaishi milimani mwa Asia ya Kati na aliye na madoa meusi.