Charles Ndiliana Ruwa Keenja

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Charles Ndiliana Ruwa Keenja (amezaliwa tar. 24 Desemba 1940) ni mbunge wa jimbo la Ubungo katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Mengi kuhusu Charles Ndiliana Ruwa Keenja". 13 Julai 2006. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-19. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.