Changwon

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Changwon

Changwon (Kikorea: 창원) ni mji nchini Korea Kusini. Kuna wakazi 1,081,499 (mwaka 2010). Mji ulianzishwa 1408.

Jiografia[hariri | hariri chanzo]

Eneo lake ni 743.48 km².

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu "Changwon" ni fupi mno. Inahitaji kupanuliwa mapema.
Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Changwon kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.