Chama cha Uhuru cha Puerto Rico

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
The flag of Puerto Rico (1895)[1], which soon came to symbolize the ideals of the Puerto Rican independence movement, is now composed of the Puerto Rican Independence Party (PIP) and other organizations.
Chama cha Uhuru cha Puerto Rico (PIP)

Chama cha Uhuru cha Puerto Rico (Kihispania: Partido Independentista Puertorriqueño - PIP) ni chama kidogo cha kisiasa nchini Puerto Rico. Inapigania uhuru wa nchi ambayo kwa sasa ni eneo la kushirikishwa la Marekani katika visiwa vya Antili Kubwa.

Chama kilianzishwa mwaka 1946. 2004 imeingia na mbunge mmoja kati ya 54 bungeni na seneta mmoja kati ya 28 katika senati ya Puerto Rico. Kwa uchaguzi wa 2020, Juan Dalmau alikuwa mgombeaji wa chama. Alipata kura 175,402 na kushika nafasi ya nne, akiwa na rekodi ya 13.58% ya kura, matokeo bora ya pili ya uchaguzi katika historia ya PIP. Huku chama cha Movimiento Victoria Ciudadana (Citizens Victory Movement) kikijipatia kura 179,265 na kushika nafasi ya tatu kwa 13.95% ya kura, hii ndiyo sehemu kubwa zaidi ya kura za Puerto Rico (27.53%) zilizopata kupatikana na vyama vya mrengo wa kushoto nchini Puerto Rico.

Chama chashiriki katika maungano ya vyama vya kisoshalisti duniani.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

  • www.independencia.net/ingles/welcome.html
  1. CIA The World Fact Book Archived 9 Januari 2008 at the Wayback Machine., Retrieved Oct. 21, 2007