Casey Motsisi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Casey "Kid" Motsisi (1932 - 1977) alikuwa mwandishi wa Afrika Kusini. Hasa aliandika hadithi fupi na insha katika gazeti la Drum.

Maandishi yake[hariri | hariri chanzo]

  • Casey & Co. (maandishi mbalimbali, 1978)

Angalia pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Chapman, Michael. 2003. Southern African Literatures, University of Natal Press. ISBN 1-86914-028-1
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Casey Motsisi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.