Camille Saint-Saëns

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Camille Saint-Saëns.

Camille Saint-Saens (Kifaransa: Camille Saint-Saëns) (9 Oktoba 1835 - 16 Desemba 1921) alikuwa mtunzi wa Opera na mpiga kinanda mashuhuri kutoka nchini Ufaransa. Alikuwa mmoja kati watunzi wakubwa wa Opera wa kipindi cha Romantic. Alitunga nyimbo nyingi sana zenye mandhari tofauti na kukubalika katika jamii ya watu wa Ufaransa.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]


Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani wa Ulaya bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Camille Saint-Saëns kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Orodha ya Wanamuziki wa kipindi cha Romatiki
Alkan Balakirev Beethoven Bellini Berlioz Berwald Bizet Borodin Brahms Bruckner Chopin Cui Dvořák Elgar Field Franck Glinka Grieg Liszt Mahler Mendelssohn Mussorgsky Rachmaninoff Rimsky-Korsakov Saint-Saëns Schubert Schumann Smetana Strauss Tchaikovsky Verdi Wagner Wolf Weber