Bodi ya sakiti iliyochapishwa
|
|
Unganisha! Imependekzwa makala hii iunganishwe na Utengenezwaji wa bodi ya sakiti. Ili kupata sababu angalia ukurasa wa majadiliano. Makala hii imetiwa alama tangu tarehe Agosti 2010. |
Bodi ya sakiti iliyochapishwa ama Printed Circuit Board (PCB), ni bodi inayotumika kwa shughuli za kimekanika ambazo husaidia kuwaunganisha vifaa vya umeme pamoja na elektroniki. Bodi hizi huwa na njia nyembamba zinazotumika kupitisha umeme. Pia inajulikana kama ubao wa waya zilizochapishwa ama Printed wiring board(PWB)..
PCBs ni inexpensive, na zinaweza kuaminika sana. Bodi hizi huhitaji juhudi kubwa ya muonekano wake na gharama kubwa za awali kuliko njia nyingine za kawaida. Pia ni rahisi sana na uzalishwaji wake ni wa kasi na pia kwa ujazo mkubwa zaidi. Viwanda vingi vya vifaa vya elektroniki wabunifu wa Bodi zilizochapishwa, waunganishaji wa vifa husikawadhibiti wa ubora wa vifaa hivi huratibiwa na shirika lijulikanalo kama IPC
Historia[hariri]
Mvumbuzi wa Bodi za sakiti zilizochapisha aliejulikana kwa jina la Paulo Eisler(1907-1995) aliyekuwa raia wa Austria, pindi alipokuwa akifanya kazi nchini Uingereza, alipoifanya moja ya circa 1936 kama sehemu ya redio. Mnamo miaka ya 1943 Marekani ilianza kutumia teknolojia ya juu kwa kiasi kikubwa kuzalisha redio zilizzotumika katka vita kuu ya pili ya dunia. Baada ya vita, kunako miaka ya 1948, teknolojia hiyo ilitolewa kwa ajili ya matumizi ya kibiashara katikati ya miaka ya 1950, baada ya mchakato Jotoridi Sembly ilitengenezwa na Jeshi la Marekani.