Besi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kwa dutu la kikemia tazama hapa: Besi (kemia)

Upeo kwa besi kwa maandishi ya noti

Besi ni sauti ya chini katika muziki. Kifizikia besi huelezwa kuwa sauti yenye marudio kati ya hertz 0 hadi 150.

Marudio ya chini hupokelewa na binadamu siyo kupitia masikio pekee bali kwa mwili wote. Kwa hiyo hata watu viziwi wanasikia sauti za besi wanaweza kucheza kwa muziki yenye besi.

Katika muziki kuna ala za pekee kwa ajili ya besi kama vile gitaa ya besi au ngoma kubwa. Ala kadhaa kama piano au kinanda huwa na sauti za juu hadi besi.

Makala hii kuhusu mambo ya muziki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Besi kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.