Berkeley, California

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mji wa Berkeley


Berkeley
Berkeley is located in Marekani
Berkeley
Berkeley

Mahali pa Berkeley katika Marekani

Majiranukta: 37°52′18″N 122°16′22″W / 37.87167°N 122.27278°W / 37.87167; -122.27278
Nchi Marekani
Jimbo California
Wilaya Alameda
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 102,743
Tovuti:  www.CityofBerkeley.info
Mahali pa Berkeley katika California
Telegraph Avenue

Berkeley ni mji wa Marekani katika jimbo la California. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2000, mji una wakazi wapatao 100,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 0-400 kutoka juu ya usawa wa bahari.


Makala hii kuhusu maeneo ya California bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Berkeley, California kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.