Benki Kuu ya Kenya (1973)
Benki hii iko katika mji wa Nairobi. Gavana wa sasa wa benki ni Profesa Njuguna Ndungu ambaye alianza kazi 4 Machi 2007. Prof Ndung'u ni Profesa msaidizi wa Uchumi katika Chuo Kikuu cha Nairobi na ana PhD katika uchumi kutoka Chuo Kikuu cha Göteborg, Uswidi, na vyeo vya Masters na bachelor's katika uchumi kutoka Chuo Kikuu cha Nairobi. Jina la benki kwa ufupi ni "CBK".
Benki Kuu ya Kenya ilianzishwa mwaka 1966 baada ya Kufutwa kwa East Africa Currency Board (EACB).
Angalia Pia[hariri]
Viungo vya nje[hariri]
|
|
|
|
|
|
| Economy |
|
|
| Sectors and industries: |
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Policies and implementation
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|