Basil wa Caesarea
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mtakatifu Basil, Askofu mkuu wa mji wa Caesarea
Basil wa Caesarea (takriban 329 – 1 Januari, 379) alikuwa askofu katika mji wa Caesarea (mkoa wa Kapadokia, leo nchini Uturuki).
Ni mmojawapo kati ya Mababu wa Kanisa muhimu zaidi. Ndiyo sababu anaitwa Basili Mkuu (kwa Kigiriki Βασίλειος ο Μέγας).
Alitangazwa kuwa mtakatifu punde baada ya kifo chake.
Sikukuu yake ni tarehe 2 Januari.
[hariri] Viungo vya nje
- Maandishi yake yote katika Patrologia Graeca pamoja na faharasa na tafsiri mbalimbali (EN, FR, IT, RU)
| Makala hii kuhusu Mkristo huyu bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Basil wa Caesarea kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |