Basil wa Caesarea

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mtakatifu Basil, Askofu mkuu wa mji wa Caesarea

Basil wa Caesarea (takriban 3291 Januari, 379) alikuwa askofu katika mji wa Caesarea (mkoa wa Kapadokia, leo nchini Uturuki).

Ni mmojawapo kati ya Mababu wa Kanisa muhimu zaidi. Ndiyo sababu anaitwa Basili Mkuu (kwa Kigiriki Βασίλειος ο Μέγας).

Alitangazwa kuwa mtakatifu punde baada ya kifo chake.

Sikukuu yake ni tarehe 2 Januari.

[hariri] Viungo vya nje

Christian cross.svg Makala hii kuhusu Mkristo huyu bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Basil wa Caesarea kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.