Bartın Merkez
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Bartın Merkez ni jiji kubwa kuliko yote nchini Bartın, Uturuki. Ni pia jina la Bahari Nyeusi. Mji una wakazi wapatao 121,860 (Kwa hesabu ya sensa ya mwaka wa 2007).
Historia [hariri]
Kihistoria pia unajulikana kama;
- Parthenios,
- Parthenia,
- Bartinai,
- Bartın.