Baisani
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Baisani | ||||||||||||||||||
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Dume la baisani wa Amerika, Bison bison
|
||||||||||||||||||
| Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||||
|
Baisani (kutoka Kiing.: bison, Kisayansi: Bison) ni jenasi ya wanyama wakubwa wa Amerika na Ulaya wanaofanana na ng'ombe.
Spishi [hariri]
- Bison bison, Baisani wa Amerika (American Bison)
- Bison bonasus, Baisani wa Ulaya (Wisent)
Spishi za kabla ya historia [hariri]
- Bison antiquus (Ancient Bison)
- Bison latifrons (Giant Bison)
- Bison occidentalis (Bison occidentalis)
- Bison priscus (Steppe Wisent)